91麻豆天美

Amani na Usalama

Fortune Charumbira
Tunataka Bunge la Afrika liwe Bunge la Wananchi
Barani Afrika, Huduma za Misaada za Kikatoliki zinasaidia jamii ‘kushughulikia kile kinachozigawanya ili ziweze kupata kile kinachoziunganisha’ na kwa pamoja kufanyia kazi mabadiliko ya kimageuzi.
Waandamanaji wameingia mitaani katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum tarehe 11 Aprili 2019
UN News
UN News
Walinda amani wanawake kutoka Tanzania wakiwa na wanawake na watoto.
UN News
Superintendent Malla (kulia).
Mrakibu wa Nepal Sangya Malla alisaidia kuanzisha Kitengo cha Afya na Mazingira, na kuimarisha usalama na ustawi wa wadumisha amani.
Kossi Gavon mwenye umri wa miaka 24, ni Luteni kutoka Togo
— Kossi Gavon mwenye umri wa miaka 24, ni Luteni kutoka Togo anayehudumu katika Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini Mali. (MINUSMA)
Merveille-Noella Mada-Yayoro, 29, ni mwandishi wa habari na mtayarishaji wa Guira FM
- Merveille-Noella Mada-Yayoro, 29, mwandishi wa habari na mtayarishaji wa Guira FM huko CAR.
Mwanajeshi wa kikosi cha anga/mwanamke wa kufyatua bunduki kutoka Afrika Kusini, Phelisa Frida Miya
Phelisa Frida Miya nwenye umri wa miaka 28, ni mwanajeshi wa kikosi cha anga/mwanamke wa kufyatua bunduki kutoka Afrika Kusini anayehudumu katika Ujumbe wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO).
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres
UN News